iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Taibah nchini Saudi Arabia kimefanikiwa kutumia teknolojia ya nano kuimarisha mfumo wa vipaza sauti katika Al-Masjid an-Nabawi (Msikiti wa Mtume SAW) mjini humo.
Habari ID: 3471249    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/05